Thursday, January 24, 2013

NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI

Waandishi wa Habari nchini Tanzania watakiwa kusimamia na kueleza haki za watoto pendekezo ambalo limetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa Linaloshughulikia Watoto UNICEF na kutaka afya, elimu na masuala ya kijamii yatiliwe mkazo zaidi. Hili limekuja kutokana na waandishi wengi kutojikita kueleza haki za watoto.

No comments:

Post a Comment