Waandishi wa Habari nchini Tanzania watakiwa kusimamia na kueleza haki
za watoto pendekezo ambalo limetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa
Linaloshughulikia Watoto UNICEF na kutaka afya, elimu na masuala ya
kijamii yatiliwe mkazo zaidi. Hili limekuja kutokana na waandishi wengi
kutojikita kueleza haki za watoto.
No comments:
Post a Comment